PASCAL WAWA ARUDI EL MEREKH YA SUDAN AWAPOTEZEA AZAM FC

5:45 AM
Beki Serge Wawa amerejea katika klabu yake ya zamani ya El Merreikh na kusaini miaka miwili.

Wawa raia wa Ivory Coast alijiunga na Azam FC akitokea katika klabu hiyo ya Sudan.

Lakini amerejea tena Sudan ikiwa ni siku chache baada ya kueleza kuwa Kocha Zeben Hernandez ambaye anainoa Azam FC kuonyesha hamtaki.

Wawa alikuwa kati ya beki tegemeo wa Azam FC, lakini alianza kuyumba na kukosa nafasi katika kikosi cha kwanza baada ya kuwa majeruhi.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »