AZAM WASAJILI WAGHANA WAWILI HATARI

12:21 PM
Timu ya Azam Fc imefungua usajili wake wa dirisha dogo kwa kishindo baada ya kuwasainisha wachezaji wawili raia wa Ghana Samuel Afful na Abdul Mohamed wote wakiwa ni washambuliaji. 
Wakati Samuel Afful ilimlazimu apitie katika zoezi la majaribio na kufuzu Abdul Mohamed yeye amesajiliwa moja kwa moja kutokana na CV yake katika ligi ya Ghana. 
Afful mchezaji kutika timu ya Sekondi Hasaacan ya Ghana Abdul ametokea katika klabu ya Aduana Stars akiwa mfungaji bora namba mbili wa ligi hiyo msimu uliopita
Afful amepewa miaka mitatu na Abdul amepewa mkataba wa miaka miwili. 

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »