MAN CITY WABANWA NYUMBANI NA WABISHI MIDDLESBROUGH

10:33 AM
Timu ya Manchester City leo imeshindwa kutamba katika dimba lake la Etihad baada ya kukutana na wabishi Middlesbrough katika mtanange wa EPL na kutoka sare ya goli 1-1.
Mashabiki wa Mancity wakiwa wameamini wameshisnda mchezo huo  wa Midlesbrough M. De Roon aliisawazishia timu yake dakika ya 90+1 ya mchezo huo kwa kichwa akimalizia krosi nzuri iliyopigwa na George Friend.
Katika mchezo huo goli la Man City limefungwa na Aguero dakika ya 43 ya mchezo huo.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »