23 WATAJWA KUWANIA MCHEZAJI BORA DUNIA WA FIFA 2016| Ozil na Pogba ndani

9:31 AM
FIFA imetaja wachezaji wake 23 watakaowania tuzo ya mchezaji bora wa Dunia  wa FIFA kwa mwaka 2016 huku ligi pendwa Tanzania ya EPL ikiingiza wachezaji 10 sambamba na ligi bora Duniani ya Hispania ambayo nayo imetoa wachezaji 10 huku wachezaji 2 wakitoka ligi ya Ujerumani na mmoja kutoka ligi ya Italia.
Ozil ametajwa kugombania mchezaji bora wa Dunia wa FIFA

JINSI MSHINDI ATAKAVYOPATIKANA
Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa FIFA itapatikana kwa njia ya mjumuisho wa kura ambapo 50% ya kura zitapigwa na makepteni na makocha wa Timu za Taifa Duniani kote.

50% iliyobaki itajumuisha mashabiki watakaopiga kura Online pamoja na waandishi wa Habari 200 watakaochaguliwa kutoka Mashirika yanayoaminika Duniani.
ORODHA YA WACHEZAJI WANAOWANIA KINYANG'ANYIRO HICHO

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »