KAPOMBE AWA KIBONGE,AANZA MAZOEZI MEPESI CHINI YA WAHISPANIA

10:14 AM
Mashabiki wengi wa soka wameonekana kushitushwa na mwili wa beki wa Azam FC, Shomari Kapombe kuonekana umeongezeka sana.
Pamoja na mwili kuwa ni ‘bonge’, lakini bado amekuwa na mwonekano tofauti kutokana na kuwa na ndevu nyingi kama waigizaji wa filamu za Kihindi hasa wanapokuwa na mawazo au wametoka jela.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »