Mashabiki wengi wa soka wameonekana kushitushwa na mwili wa beki wa Azam FC, Shomari Kapombe kuonekana umeongezeka sana.
Pamoja na mwili kuwa ni ‘bonge’, lakini bado amekuwa na mwonekano tofauti kutokana na kuwa na ndevu nyingi kama waigizaji wa filamu za Kihindi hasa wanapokuwa na mawazo au wametoka jela.



EmoticonEmoticon