ZLATAN IBRAHIMOVICH ATANGAZA KUHAMIA MANCHESTER UNITED

8:26 AM
Hatimae Mashabiki wa Manchester watafurahia kusikia habari hii, punde gwiji la soka Duniani akiichezea klabu ya Paris St Germain ametangaza kupitia account yake ya Instagram kwamba atakipiga na klabu ya Manchester United msimu ujao.
Ibrahimovich anatua Manchester akiwa mchezaji huru ingawa klabu ya Manchester bado haijatangaza rasmi kuhusiana na usajili huo
Ibrahimovich aliandika kupitia Instagram
Sasa ni wakati wa Dunia kujua mahala ninapokwenda msimu ujao, mahala penyewe  ni MANCHESTER UNITED"
Aliandika Zlatan.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »