WALES WAINYUKA UBELGIJI 3-1 NA KUTINGA NUSU FAINALI

3:12 PM
Timu ya Wales imeibuka na ushindi wa magoli 3-1 dhidi ya Ubelgiji kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Euro 2016 usiku huu Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Mabao ya Wales ambayo itakutana na Ureno Julai 6 katika Nusu Fainali yamefungwa na Ashley Williams dakika ya 30, Robson-Kanu dk 55na Sam Vokes dakika ya 85, baada ya Ubelgiji kutangulia kwa bao la Radja Nainggolan dakika ya 13.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »