Baada ya kujifua kivyake kwa muda wa takribani wiki mbili, Hassan Kessy sasa ameungana na wenzake na kuonyesha ni kati ya wachezaji wenye kasi waliosajiliwa na Yanga, msimu ujao.
Tayari Kessy ameanza kazi rasmi Yanga ambayo ni timu yake mpya aliyojiunga nayo baada ya mkataba wake na Simba kwisha. Katika mazoezi hayo, Kessy alionekana ni mwenye kasi na kutimiza kila alichoambiwa na Kocha Hans van der Pluijm, haraka sana.
Tayari Kessy ameanza kazi rasmi Yanga ambayo ni timu yake mpya aliyojiunga nayo baada ya mkataba wake na Simba kwisha. Katika mazoezi hayo, Kessy alionekana ni mwenye kasi na kutimiza kila alichoambiwa na Kocha Hans van der Pluijm, haraka sana.

EmoticonEmoticon