UGANDA WAIBUKA NA TUZO MBILI ZA AFRIKA

10:20 PM
Timu ya Taifa ya Uganda imeibuka na tuzo ya Timu bora ya Taifa ya mwaka 2016 ikiwa imefanikiwa kufuzu michuano ya Afrika baada ya miaka 39 huku kipa wa Timu ya Mamelodi Sundown raia wa Uganda Dennis Onyango akifanikiwa kurithi tuzo ya Mbwana Samatta ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanaokipiga ndani ya Afrika. 
Dennis Onyango mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanaokipiga ndani ya Afrika. 
Tuzo nyingine ni kama ifuatavyo
 Mchezaji bora wa kike Asisat Oshoala
 Timu bora ya Taifa ya wanawake imekwenda kwa Nigeria. 
 Timu ya mamelodi Sundown imenyakua tuzo ya klabu bora ya mwaka 2016 
 Alex Iwobi amenyakua tuzo ya mwanasoka bora chipukizi wa mwaka 
 Bakari Papa Gassama ameshinda tuzo ya refarii bora wa Afrika 
 kocha wa timu ya mamelodi Sundown Pitso Mosimane ametwaa tuzo ya kocha bora wa Afrika 
 Wachezaji walioingia kwenye kikosi bora cha Afrika
 Riyad Mahrez mchezaji bora wa Afrika 
Mamelodi Sundown imenyakua tuzo ya timu bora ya mwaka 2016 ikiwa imefanikiwa kutwaa kombe klabu bingwa barani Afrika. 

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »