HII SIMBA SI YA MCHEZO MCHEZO| POINTI TATU KWAO HAWAZIACHI

8:30 AM
Timu ya Simba imefanikiwa kuongeza wigo wa alama kileleni baada ya leo kujikusanyia alama tatu muhimu kwa kuifunga timu ya Ruvu shooting na kufanikiwa kufikisha alama 44 wakiwaacha watani wao Yanga na alama zao 41.
Goli la Simba lilipachikwa katika dakika za mwisho za kipindi cha kwanza mfungaji akiwa ni Muhamed Ibrahim maarufu kama 'Mo'

Baada ya ushindi huo Simba inataraji kuondoka kesho kwenda Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya mapinduzi.
        

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »