UKWELI KUHUSU DEGREE YA MISS TANZANIA

5:18 AM
Baada ya sekeseke la Miss Tanzania mwenye umri wa miaka 18 anayedaiwa kusema ana elimu ya shahada kusambaa ukweli umedhihirika na kuonekana ni udaku na umbea wa mitandao ya kijamii katika kukuza mambo yasiyo na msingi.
Ukweli ni kwamba binti huyo alisema yeye ni aplicant wa Degree katika chuo cha IFM na si kama watu wanavyovumisha. Angalia video hapo chini kusikia alichokisema

ULIIKOSA HII YA JOH MAKINI ALIVYOKINUKISHA PALE MAISHA PLUS

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »