TASWIRA YA KIKOSI CHA YANGA KILIVYOTUA JIJINI MBEYA TAYARI KUWAVAA MBEYA CITY

12:32 PM
Kikosi cha Yanga kimewasili  jijini Mbeya kwa ajili ya mtanange wa  Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City, siku ya Jumatano
Mashabiki na wanachama wa Yanga walijitokeza kwenye Uwanja wa ndege mjini humo kuwapokea vijana wao huku wakiwaonyesha heshima na furaha kubwa juu ya Timu yao.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »