ARSENAL WAIJIBU YANGA| WAFUNGA GOLI LA UTATA JIONEE HAPA

11:20 AM
Arsenal imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Burney katika mechi iliyokuwa na upinzani wa hali ya juu, Goli la Arsenal liligubikwa na utata mithili ya lile goli alilofunga Tambwe dhidi ya Simba katika mechi ya ligi kuu Tanzania bara.
Iliwalazimu Arsenal kusubiri dakika 93 kuweza kufunga goli hilo kupitia beki wao Laurent Kockienly ambaye aliunawa mpira kabla ya kufunga. Ushindi huo unawasogeza Arsenal katika nafasi ya 3 ya msimamo wa ligi hiyo.

JIONEE GOLI LENYEWE HAPO CHINI

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »