Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga nao wamekabidhiwa jezi zao kwa ajili ya msimu ujao kama unavyoona vijana wakiwa wamezivaa, zitakuwa kwa ajili ya msimu wa 2016-17. Hii ilikuwa katika hafla za makabidhiano ya jezi mpya za msimu ujao zilizofanywa na wadhamini wa Ligi Kuu Bara, kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom.
Jicho la habari|Matukio na Jamii
habari
michezo
HUU NDIO MUONEKANO WA JEZI ZA YANGA ZA MSIMU UJAO WA LIGI KUU YA VODACOM
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
EmoticonEmoticon