URENO BINGWA EURO 2016

3:35 PM
Ederzito Antonio Macedo Lopes - AKA Eder Mfungaji pekee  wa goli la Ureno.
Goli la dakika za nyongeza za mchezo wa Fainali kati ya Ufaransa na Ureno lililofungwa na mshambuliaji wa Ureno Eder katika dakika ya 109 limetosha kuipa ubingwa wa Ulaya Timu ya Taifa ya Ureno ambayo imecheza katika fainali hiyo muda mwingi bila ya mshambuliaji wake tegemeo Christian Ronaldo aliyetoka nje dakika ya 23 ya mchezo baada ya kuumia goti.



 Kwa kweli ilikuwa ni shangwe isiyo na kifani..
Hongera Urena kwa Ubingwa wa Ulaya.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »