RICH MAVOKO| MKATABA WANGU NA WCB HAUKUWA NA LIMITATION

1:02 AM

Msanii mpya wa lebo ya Wasafi, Rich Mavoko amefafanua mkataba wake wa mwanzo aliosaini na menejimenti ya King Kaka.

Rich Mavoko kwa sasa amefanikiwa kusaini mkataba mpya wa miaka 10 na lebo ya Wasafi inayomilikiwa na Diamond. Akiongea kwenye kipindi cha XXL, kinachoruka kupitia Clouds FM, Rich Mavoko alisema kuwa makubaliano yake na King Kaka hayakuwa na limitation yeyote.

“Nafikiria yalikuwa ni makubaliano tu hayakuwa na limitation yeyote, muda wowote kama mimi sijaridhika ninaweza nikatengua makubaliano hayo. Kwahiyo tukapatana nikatengua makubaliano hayo before hata kuingia wasafi,” aliongeza.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »