CUF yakanusha kukataliwa kwa Lipumba-Yatoa ufafanuzi

7:49 AM
Baada ya kusambaa kwa tetesi za uongo katika vyombo vya habari kuhusiana na aliyekuwa mwenyekiti wa CUF Prof, Ibrahim Lipumba kwamba Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif amekataa ombi lake la kurejea katika chama hicho.      

Chama cha CUF Kimeshauri vyombo vya habari kuwa na uhakika wa habari wa unazoziandika na kuachana na vyanzo potofu ambavyo vinapotosha uma.

 Leo chama cha CUF  kimetoa waraka wa kukanusha habari hizo kama inavyoonekana hapo chini
                

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »