CONDOM KUTUMIKA KWA WALIOAMBUKIZWA ZIKA

5:11 AM

Mtoto aliyezaliwa na Zika

Shirika la Afrika Dunia (WHO) sasa linawahimiza watu wanaotoka katika sehemu zilizoathirika na virusi vya Zika kuzingatia mbinu za kujikinga endapo mtu anafanya mapenzi ama kujiepusha na ngono kwa muda wa wiki nane.

WHO pia imeongeza kwamba wanawake waepukane na kupata mimba kwa miezi sita iwapo mwenzake wa ndoa amekuwa na dalili za virusi vya ugonjwa huo

Wiki iliyopita shirika hilo lilisema hakuna sababu ya kujiepusha na michezo ya Olimpiki mjini Rio mwezi Agosti.

Hii inaongezea vigezo vya hapo awali .

BBC Swahili

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »