MSUVA AWANYOOSHA ZIMAMOTO

8:23 AM
Magoli mawili ya Simon Msuva yametosha kuipa pointi tatu klabu Yanga katika michuano ya Mapinduzi baada ya kuifunga Timu ya Zimamoto ya Zanzibar. 
Kwa matokeo ya leo yanazidi kuikita Yanga kileleni katika kundi lake kwa kufikisha pointi 6 na magoli 8 baada ya kucheza mechi mbili. 
Baadae kutakuwa na mchezo mwingine baina ya Azam Jamuhuri. 

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »