Taifa Jang'ombe yawaadhibu ndugu zao wa Jang'ombe boys| Mapinduzi Cup

3:24 AM
Michuano ya Mapinduzi kwa mwaka 2016 yamefunguliwa jana huko Zanzibar kwa kuzikutanisha mahasimu wawili wanaotoka katika eneo mojaTaifa  Jang'ombe na Jang'ombe boyz  ambapo Taifa Jang'ombe imefanikiwa kutoka kifua mbele kwa ushindi wa goli 1-0 goli lililofungwa dakika ya 82 na Seif Hassan.
Mchezo huo ulipigwa katika dimba la Amani lilishuhudia upinzani mkali huju timu hizo zikionekana kukamiana kutokana na kutoka  sehemu moja na kuwa na upinzani mkali wa nje na ndani ya uwanja.
Michauano hiyo itaendelea jumapili kwa kuzikutanisha timu za KVZ vs URA mchana huku pambano linalosubiriwa kwa na kati ya Taifa Jang'ombe vs Simba.

AZAM VS PRISON| JOHN BOCCO GOAL!!!!!!!!

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »