MUSSA NDUSHA WA SIMBA APELEKWA OMAN KUMPISHA KOTEI

1:20 AM
Simba imepanga kumtoa kwa mkopo kiungo mshambuliaji wake Mussa Ndusha.
Taarifa za ndani kutoka Simba zinaeleza Ndusha anapelekwa kucheza kwa mkopo nchini Oman.

“Ndusha alikosa nafasi ya kuonyesha kiwango chake na kuna taarifa anapelekwa kwa mkopo nchini Oman,” kilieleza chanzo.

Viongozi wa Simba, wameshindwa kumtema Ndusha baada ya kuonyesha uwezo wa juu lakini katika hatua za mwisho.

Awali, kulikuwa na taarifa kwamba Ndusha angetemwa katika kikosi cha Simba.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »