24 WAITWA STARS KUJIANDAA NA MECHI DHIDI YA ZIMBABWE

6:31 AM
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars November 13 2016 itacheza dhidi ya timu ya taifa ya Zimbabwe katika mchezo wa kirafiki, Taifa Stars itacheza mchezo huo wa kirafiki katika mji wa Harare Zimbabwe.

Leo November 4 2016 yametajwa majina 24 ya wachezaji watakaiongoza Tanzania kucheza dhidi ya Zimbabwe, majina yote 24 yakiongozwa na nahodha wao Mbwana Samatta yamechaguliwa na kocha mkuu Charles Boniface Mkwasa.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »