VIDEO| BAADA YA ALI KIBA KUZUA GUMZO MOMBASA, VANESSA MDEE AZUNGUMZIA SAKATA ZIMA

1:46 AM
Siku chache zilizopita kulifanyika shoo pale jijini Mombasa, shoo hiyo ilimuhusisha msanii kutoka Marekani Chriss Brown pamoja na wasanii wengine wa Afrika akiwemo Wizkid pamoja na wasanii kutoka bongo ambao ni Vanessa Mdee na Ali Kiba.

Katika shoo hiyo Ali Kiba wakati anaimba ghafla alizimiwa mic na na kushushwa jukwaani, Kutokana na tukio hilo mengi yameongewa mitandaoni lakini Vannessa Mdee ameamua kuweka wazi kile kilichosababisha tukio hilo, Bofya video hapo chini kumsikiliza.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »