Mshambuliaji wa Genk, Mbwana Samatta ataendelea kuendeshwa kwa kuwa alifeli katika mtihani ambao ungemuwezesha kupata leseni ya udereva nchini Ubelgiji.
Kama ilivyo kawaida katika nchi za Ulaya, wanaotakiwa kuendesha nchini humo lazima wafanyiwe mtihani.
Samatta alishindwa kufanya vema na kupata maksi ambazo ni sahihi ili kuweza kupewa leseni.
Kutokana na kushindwa, Samatta ataendelea kuendeshwa kwenda na kurudi mazoezini pia kwenye shughuli zake mbalimbali akiwa nchini Ubelgiji.
Share this
SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES..
Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz
EmoticonEmoticon