LEICESTER YAENDELEA KUWASHA MOTO UEFA| Yaifumua Porto

11:09 PM
Klabu soka na mabingwa wa ligi kuu  Nchini Uingereza Leicester jana imeendeleza ubabe katika michuano ya UEFA kwa kutoa kichapo cha goli 1-0 dhidi ya Timu ya Porto ya Ureno.
Alikuwa ni Sliman aliyefanikiwa kumtungua Cassilas dakika ya 25 ya mchezo na kuiwezesha timu yake kuibuka na ushindi wa pili na kujikusanyia pointi sita kileleni baada ya mechi ya kwanza kuifunga timu ya Club Brugge magoli 4-0.
Kama ulipitwa na mechi hiyo unaweza kuitazama hapo chini

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »