BAADA YA KUTEMBELEA BANDARI, RAIS MAGUFULI AMEAMURU MAMBO HAYA YATEKELEZWE HARAKA

10:10 PM
Dar es Salaam
Rais wa Tanzania John Magufuli jana amefanya ziara Bandarini kukagua utendaji wa kazi na shughuli mbalimbali jinsi zinavyoendelea hapo bandarini.

Rais ameagiza kufanyiwa marekebisho ya mkataba wa kampuni ya  Ticts ambayo inajishughulisha  kupakia na kuondoa mizigo bandarini, Rais ameagiza kufanyika marekebisho hayo ya mkataba ili uweze kuipa faida Taifa.

Sambamba na hilo Rais ameiagiza mamlaka ya Bandari (TPA) kununua mashine zipatazo ne mahususi kwa ukaguzi wa mizigo inayoingia Bandarini hapo na kumuagiza Waziri husika kushirikiana na TPA kufunga Floor meter ndani ya miezi minne.

Pia ameitaka TPA kujenga Bandari kavu ili kuacha kuzitumia Bandari binafsi ambazo zinatumika kukwepa kodi.
Source:Mwananchi

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »