TASWIRA YA STRAIKA MPYA WA SIMBA LAUDIT MAVUGO AKIWA MAZOEZINI

7:39 AM
Mshambuliaji mpya wa Simba, Laudit Mavugo amekata kiu kabisa kuhusiana na ile filamu yake ya anakuja haji. Na leo ameanza mazoezi rasmi akiwa na timu hiyo.

Mavugo raia wa Burundi, ameungana na Kikosi cha Simba ambacho kimefanya mazoezi kwenye Uwanja wa Boko Veterani jijini Dar es Salaam.

Pamoja na kuwa ni mara yake ya kwanza, Mavugo alionekana ni kama mwenyeji, asiye na woga na aliyechangamka hivyo kumfanya awe ni mwenye furaja muda mwingi.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »