PRE SEASON|CHELSEA YADUNDWA 2-0 NA RAPID VIENNA, Morinho aanza vizuri man u

1:30 PM
Timu ya Chelsea ya uingereza chini ya kocha wake mpya Antonio Conte imekubali kichapo cha magoli 2-0 kutoka kwa wenyeji wao Rapid Vienna katika mechi yao ya kwanza ya kirafiki (Pre-Season) kwa ajili ya maandalizi kuelekea msimu mpya wa Ligi kuu ya Uingereza mwaka 2016/2017.

Angalia picha mbalimbali za matukio  katika mtanange huo hapo chini






Antonio conte

Wakati huo huo Timu ya Manchester United chini ya kocha wake mpya mwenye mbwembwe nyingi Jose Morinho imeanza vyema katika mchezo wa kirafiki nyumbani kwa Wigan kwa kuibuka na ushindi wa magoli 2-0.

 Morinho katika pozi
Magoli ya Manchester yalifungwa na William Keane dk 49  na Andreas Pereira dk 58.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »