MANCHESTER UNITED KUVUNJA REKODI YA DUNIA| WATAKA KUMSAJILI POGBA KWA €100m NA MSHAHARA WA € 250k KWA WIKI

3:47 AM
Manchester United wapo njiani kutaka kuvunja rekodi ya Dunia kwa kumsajili kiungo wa Juventus Paul Pogba kwa dau la  €100m, kwa mujibu wa gazeti la Mail on Sunday Pogba anatarajiwa kulipwa mshahara wa  € 250k.
 Pogba aliondoka Manchester akiwa na umri wa miaka 19 na kutimkia Juventus mwaka 2012 na kufanikiwa kuitumikia klabu hiyo kwa misimu minne na kupachika magoli 34 katika mechi 178 alizocheza.
Pogba akiwa Manchester United miaka ya 2012 kabla ya kwenda Juventus.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »