EID MUBARAK

8:25 PM
Uongozi wa jicho la habari tz unawatakia watu wote Eid Njema yenye kuambatana na Amani na utulivu.
Mle, Mnywe  na mfurahi lakini msifanye maovu yenye kumkera Mwenyezimungu kwani leo ni siku ya Amani na ya kumshukuru yeye kwa kumaliza salama mfungon wa mwezi wa Ramadhani.
EID MUBARAK

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »