PICHA| Familia na watu zaidi ya 14000 walipokusanyika kufanya ibada kwa ajili ya Muhammad Ali

11:17 PM

Siku ya Ijumaa ya June 10 ndio ilikuwa siku ambayo wapenzi na mashabiki wa mchezo wa ngumi, walipata nafasi ya mwisho ya kufanya ibada ya pamoja ya katika ukumbi wa Kentucky Freedom kumuombea bondia nguli wa mchezo wa ngumi duniani hayati Muhammad Ali.

Familia ya hayati Muhammad Ali ilikusanyika pamoja na umati wa watu unaotajwa kufikia 14000 na kufanya ibada ya pamoja ya saa moja, kwa ajili ya kumuombea Muhammad Ali, ibada ambayo ilihudhuriwa na wake zake pia Khalilah Camacho-Ali na Veronica Porche-Ali.

Mke wa pili wa Marehemu Veronica Porche-Ali.

 Mke wa Tatu wa Marehemu M. Ali Veronica Poche









 Bondia Lenox Lewis



 Bondia Sugar Ray
 Promota maarufu wa Masumbwi Don King

 

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »