TASWIRA YA MATUKIO KUTOKA BUNGENI

10:53 AM

Mbunge wa CCM, Mhe. Mary Mwanjelwa akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao ndani ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.



Mwenyekiti wa Bunge Mhe Najma Murtaza Giga akiwasili Bungeni kuongoza vikao vya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.

Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Mhe. Ally Keissy akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao ndani ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Selemani Jafo akiwasili viwanja vya Bunge mjini Dodoma kuhudhuria vikao ndani ya Bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (kulia) akiwa ameongozana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Jumanne Maghembe wakielekea Bungeni kuhudhuria vikao vya bunge hilo leo 23 Mei, 2016 mjini Dodoma.


Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »