MORINHO APEWA MIAKA MITATU MANCHESTER

2:08 AM
Hatimae zile tetesi tetesi sasa zimethibitishwa rasmi na klabu ya Manchester united kwamba imeingia mkataba rasmi na kocha Josse Morinho kuifundisha Timu hiyo kwa kipindi cha miaka mitatu.

Morinho amechukua nafasi ya Luis Van Gaal aliyetimuliwa jumatatu iliyopita licha ya kuipa klabu hiyo taji la FA lakini wakiwa hawana matokeo mazuri katika ligi kuu.

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »