HECTOR BELLERIN AITWA RASMI KATIKA KIKOSI CHA HISPANIA KITAKACHOCHEZA EURO 2016

2:57 AM
Beki wa Arsenal Hector Bellerin ameitwa katika kikosi cha Timu ya Taifa ya Hispania kukamilisha kikosi cha wachezaji 23 watakaowakilisha Taifa hilo katika michuano ya Euro 2016, 

Nafasi hiyoimekuja baada ya aliyekuwa beki wa kutumainiwa katika nafasi hiyo Dani Carvajal kuwa majeruhi ambayo aliyapata akiiwakilisha klabu yake ya Real Madrid dhidi ya Atletico Madrid katika fainali ya UEFA Champions Ligue ambapo Real Madrid waliibuka mabingwa kwa changamoto ya mikwaju ya penati. 

Majeruhi hayo yanamfanya kukosa michuano hiyo mikubwa barani ulaya na nafasi yake kuchukuliwa na kijna huyo wa Arsen Wenger. 


Kikosi cha Hispania cha wachezaji 19 kati ya 23 kimetangazwa asubuhi ya leo na kocha anatarajiwa kutangaza wengine wanne waliobaki hapo baadae
 

Share this

SPORT HITS IS A BLOG BASED ON PROVIDING SPORT NEWS FROM ALL AROUND THE WORLD, STAY WITH US ALL THE TIME FOR INSTANT UPDATES.. Dont Forget to follow us on Facebook, twitter and Instagram @sporthitstz

Related Posts

Previous
Next Post »